الصافات   سورة  : As-Saaffaat


سورة Sura   الصافات   As-Saaffaat
يَقُولُ أَإِنَّكَ لَمِنَ الْمُصَدِّقِينَ (52) أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَدِينُونَ (53) قَالَ هَلْ أَنتُم مُّطَّلِعُونَ (54) فَاطَّلَعَ فَرَآهُ فِي سَوَاءِ الْجَحِيمِ (55) قَالَ تَاللَّهِ إِن كِدتَّ لَتُرْدِينِ (56) وَلَوْلَا نِعْمَةُ رَبِّي لَكُنتُ مِنَ الْمُحْضَرِينَ (57) أَفَمَا نَحْنُ بِمَيِّتِينَ (58) إِلَّا مَوْتَتَنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ (59) إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ (60) لِمِثْلِ هَٰذَا فَلْيَعْمَلِ الْعَامِلُونَ (61) أَذَٰلِكَ خَيْرٌ نُّزُلًا أَمْ شَجَرَةُ الزَّقُّومِ (62) إِنَّا جَعَلْنَاهَا فِتْنَةً لِّلظَّالِمِينَ (63) إِنَّهَا شَجَرَةٌ تَخْرُجُ فِي أَصْلِ الْجَحِيمِ (64) طَلْعُهَا كَأَنَّهُ رُءُوسُ الشَّيَاطِينِ (65) فَإِنَّهُمْ لَآكِلُونَ مِنْهَا فَمَالِئُونَ مِنْهَا الْبُطُونَ (66) ثُمَّ إِنَّ لَهُمْ عَلَيْهَا لَشَوْبًا مِّنْ حَمِيمٍ (67) ثُمَّ إِنَّ مَرْجِعَهُمْ لَإِلَى الْجَحِيمِ (68) إِنَّهُمْ أَلْفَوْا آبَاءَهُمْ ضَالِّينَ (69) فَهُمْ عَلَىٰ آثَارِهِمْ يُهْرَعُونَ (70) وَلَقَدْ ضَلَّ قَبْلَهُمْ أَكْثَرُ الْأَوَّلِينَ (71) وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا فِيهِم مُّنذِرِينَ (72) فَانظُرْ كَيْفَ كَانَ عَاقِبَةُ الْمُنذَرِينَ (73) إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ (74) وَلَقَدْ نَادَانَا نُوحٌ فَلَنِعْمَ الْمُجِيبُونَ (75) وَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ مِنَ الْكَرْبِ الْعَظِيمِ (76)
الصفحة Page 448
(52) Aliye kuwa akinambia: Hivyo wewe ni katika wanao sadiki
(53) Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?
(54) Atasema: Je! Nyie mnawaona?
(55) Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.
(56) Atasema: Wallahi! Ulikaribia kunipoteza.
(57) Na lau kuwa si neema ya Mola wangu Mlezi bila ya shaka ningeli kuwa miongoni mwa walio hudhurishwa.
(58) Je! Sisi hatutakufa,
(59) Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.
(60) Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
(61) Kwa mfano wa haya nawatende watendao.
(62) Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum?
(63) Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.
(64) Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.
(65) Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.
(66) Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.
(67) Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
(68) Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.
(69) Hakika waliwakuta baba zao wamepotea.
(70) Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
(71) Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.
(72) Na Sisi hakika tuliwapelekea waonyaji.
(73) Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa walio onywa.
(74) Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
(75) Na hakika Nuhu alitwita, na Sisi ni bora wa waitikiaji.
(76) Na tulimwokoa yeye na ahali zake kutokana na msiba mkubwa.
 


اتصل بنا | الملكية الفكرية DCMA | سياسة الخصوصية | Privacy Policy | قيوم المستخدم

آيــــات - القرآن الكريم


© 2022